BONYEZA HAPA CHINI KUSIKILIZA LIVE

Monday, June 27, 2016

Kwa post hii ya Diamond ni kweli kuwa ushirikina ndo chanzo cha yeye kukosa tuzo au haikua bahati yake..?




Diamond ambae mpaka sasa ndie msanii wenye tuzo nyingi za kimataifa nchini,alipost ujumbe kupitia ukurasa account yake ya twitter,ujumbe ambao moja kwa moja ni dongo kwa wapinzani wake hasa wale waliofurahia yeye kukosa tuzo kwenye kipengele cha ‘Best International Act:Africa’,tuzo iliyonyakuliwa na DJ,Black Coffee wa Afrika Kusini,ambapo katika kipengele hicho mbali na Black Coffe,wasanii wengine kutoka Afrika waliokua nominated ni pamoja na
Cassper Nyovest (South Africa),Mzvee (Ghana),Serge Beynaud (Cote D’ivoire), Wizkid(Nigeria) na Yemi Alade (Nigeria).
attends the 2016 BET Awards at Microsoft Theater on June 26, 2016 in Los Angeles, California.
“Haya ongeeni vizuri na waganga wenu, baada ya siku nne naachia mashine nyingine,” aliandika Diamond.
diamond on twitter 0005Hata hivyo neno ‘mashine nyingine’ linamanisha ujio wa kazi yake mpya aliyowashirikisha member wa kundi la P-Squre,nyimbo ambayo bado haijafahamika ataiachia lini.

No comments:

Post a Comment