Waziri wa Maliasili
na Utalii Mhe. Prof. Jummanne Maghembe (kushoto) na Naibu Waziri wa Maliasili na
Utalii Mhe. Mhandisi Ramo Makani wakifuatilia hoja mbalimbali za wabunge wakati
wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo Bungeni
Dodoma.
Waziri wa Ulinzi na
Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Hussein Mwinyi akifuatilia kwa makini mjadala wa
Waheshimiwa Wabunge wakati wa kipindi cha maswali na
Majibu.
Mbunge wa Bunda
Mjini Mhe. Esther Bulaya akichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya
Wizara ya Maliasili na Utalii ndani ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma
leo
Mwenyekiti wa Bunge
ambaye pia ni Mbunge wa Bariadi Magharibi Mhe. Andrew Chenge akiongoza kikao cha
Bunge leo mjini Dodoma.
Baadhi ya Wananchi
kutoka jamii ya Wafugaji waliohudhuria kikao cha Bunge leo mjini Dodoma
kushuhudia Michango ya Wabunge wakati wa Makadirio ya Mapato na Matumizi ya
Wizara ya Maliasili na Utalii mjini Dodoma leo.






No comments:
Post a Comment